Yaya Lyrics by RAYVANNY


Olololo
Chuiii
We zombie
Haujui
Bad man

Ni samba la masimba dangote
Yaya yaya yaya, yaya yaya
Yaya yaya yaya, yaya  yaya

Eeh najua na madeni
Na matatizo ya kodi
Ila pesa ya pombe na shisha, sikosi
Najua na vipengelee, watu wanapiga hadi aah
Ila kuhonga mademu wazuri sichoki eeeh
Kama umemchoka tuachie sisi
Tumle mpaka mifupa sisi ndio mafisi
Kama umemchoka tuachie sisi
Tumle mpaka mifupa sisi ndio mafisi

Sawa nimeachika, ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika
Nimeachika naburudika
Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika

I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer
Yaya yaya yaya, yaya yaya
Yaya yaya yaya, yaya  yaya
Yaya yaya yaya, yaya  yaya
Yaya yaya yaya , yaya  yaya

We zombie
Ongeza tena zikiisha zikiisha
Mwaga tano tano zidisha zidisha
Bebe ikijipitisha pitisha
Usiku mboga naichumisha chumisha
Eeeh wanajita wamjini
Wakati bebe zao tunazila chin chin
Eeh mabisho bling bling
Kazi kulamba lips kitandani no engine, ladis
Samba we want dat thing, long long ting, shoka mpini
Wambie sie mbwa ka wao paka
Wajifunze zungumza kwa mipaka
Demu wako hakufosiwa shanapa
Shobo zake mwenyewe kaitakaa (weweeee)

Kama umemchoka tuachi sisi
Tumle mpaka mifupa sisi ndio mafisi
Kama umemchoka tuachie sisi
Tumle mpaka mifupa sisi ndio mafisi

Sawa nimeachika, ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika
Nimeachika naburudika
Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika

I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer
Yaya yaya yaya, yaya yaya
Yaya yaya yaya, yaya  yaya
Yaya yaya yaya, yaya  yaya
Yaya yaya yaya , yaya  yaya

Wahuni ndani wanayonga wida
Ukitaka puff pass njoo barida
Ashura, amina njoo Farida
Waambie bwana zenu hatutaki shida

Kama umemchoka tuachi sisi
Tumle mpaka mifupa sisi ndio mafisi
Kama umemchoka tuachie sisi
Tumle mpaka mifupa sisi ndio mafisi

Show me what you got
Chikiti Chikiti Chikiti Chiki Chikiti Chiki ti
Unachezaje
Chikiti Chikiti Chikiti Chiki Chikiti Chiki ti
 Show me what you got
Chikiti Chikiti Chikiti Chiki Chikiti Chiki ti
Unachezaje
Chikiti Chikiti Chikiti Chiki Chikiti Chiki ti

Sawa nimeachika, ila naburudika
Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika
Nimeachika naburudika
Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika

I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer
I am a disco dancer
Yaya yaya yaya, yaya yaya
Yaya yaya yaya, yaya  yaya
Yaya yaya yaya, yaya  yaya
Yaya yaya yaya , yaya  yaya

Watch Video

About Yaya

Album : Yaya (Single)
Release Year : 2023
Copyright : ©2023 Next level Music. All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Jul 28 , 2023

More RAYVANNY Lyrics

RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl