Haijaja Lyrics by RAWBEENA


Haijaja, haijaja
Haijaja, haijaja
(Kimambo on the beats)

Kama huna kitu tulia ndani
Usivamie watu utaumia man
Usitake watu wachomoe gun
Kwani umeotoka wapi unanukia gani

Umekuta watu wanajidai
Wameshajifukiza wanakunywa chai
Haika-- haikatai
Mzuka anao mori ka wa masai

Sasa shoboka ujipoze
Utachagua makozi au makonde
Bora uketi ukinyonge
Maana sio rahisi usiombwe

Hey sasa shoboka ujipoze
Eti unanijua tena unikome
Ushawahi kuweka ngome
Unikome mwana unikome

Kila nikikutazama, haijaja
Hio sura yako, haijaja
Oh nah nah nah, haijaja
Nikikuangalia, haijaja

Kila nikikutazama, haijaja
Hio sura yako, haijaja
Oh nah nah nah, haijaja
Nikikutazama, haijaja

[Naiboi]
Basi kata na wembe kama kisu haipatikani
Paka akitoka mi napatikana kwa jirani
Aliyeiumba kwani aliumba kwa kazi gani
Ndani ya begi basi ni kazi na mali safi

Hii ni sacco ya the cool and the ugly
Young kwela only God can judge me
Vile nimepiga hii job bila fancy
To finally kukubaliwa na wanati

Hii area ni ya mine usimultiply sana
Hesabu zako zimebana siwezi adapt hapa
Nikifikanga tu yard washanitambua
Nikifika we hapana mutu tambua
Ka inakuuma sana huwezi ni kutufuata
Na inapiga sana Kimambo hii nzito bana

Looku looku bingi na 
Tuko freshi kichizi na
Mambo yako mfuko ndogo
Si tuingizi baridi na 

Haijaja!
Hio sura yako, haijaja
Oh nah nah nah, haijaja
Nikikuangalia, haijaja

Kila nikikutazama, haijaja
Hio sura yako, haijaja
Oh nah nah nah, haijaja
Nikikuangalia, haijaja

Haijaja! Haijaja!
Haijaja! Haijaja!

Watch Video

About Haijaja

Album : Haijaja (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 09 , 2020

More RAWBEENA Lyrics

RAWBEENA
RAWBEENA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl