Ni Salama Lyrics by PRECIOUS ERNEST


Nina kila sababu kurudisha sifa kwako
Kwavile we umenifaa
Maana kila jawabu na magumu nnayopitia
Wewe umenipa

Hakika we ni mwema
Mtetezi wa zangu shida
Unanipigania kila mara

Hakika we ni mwema
Mtetezi wa zangu shida
Unanipigania kila mara

Umeniepusha na maadui
Umenipa nguvu ya kupambana
Umeniponya na Corona

Umeniepusha na maadui
Umenipa nguvu ya kupambana
Umeniponya na Corona

Nasimama napambana
Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu
Nasimama napambana
Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu

Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
“Nashukuru sana”

Yeeeeeeee yeeee oooh……
Ni salama hata nkifika mwisho
Amani moyoni ninayo nisalama
Siogopi magumu na vitisho
Upendo wako umetawala ni salama

Ona marafiki nao waliniacha
Nikapata dhiki pesa zika kacha
Japo ni magumu ila ni salama

Nilicheka nao kula nao kunywa nao sema nao
Kwenye shida wakaondoka
Wakansonya wakandharau
Kwako najiweka njia zako ni salama
Heeeeeeee……

Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
Nikiwa nawe maishani mwangu
Daima nawe ni salama
“Nashukuru sana”

Heeeeeeeeeee..ashukuru
My lord………Mungu wangu

Ona marafiki nao waliniacha
Nikapata dhiki pesa zika kacha
Japo ni magumu ila ni salama

Watch Video

About Ni Salama

Album : Ni Salama (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 05 , 2021

More PRECIOUS ERNEST Lyrics

PRECIOUS ERNEST
PRECIOUS ERNEST
PRECIOUS ERNEST
PRECIOUS ERNEST

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl