PITSON Nisaidie cover image

Nisaidie Lyrics

Nisaidie Lyrics by PITSON


[VERSE 1]
Nisaidie Baba nisiwahi lala njaa
Nisaidie Baba nisipatwe na balaa
Hasara iwe mbali nami hata kwa biashara
Ninachouza wanunue nisibaki na bidhaa
Aah aaah aaah
Nisiwai kosa pesa ya kulipa nyumba ya kukodisha
Pia unipe yangu nisiishi sana ya kukodisha
Jinsi ya kupata doo wewe Baba ndio utanionyesha
Utatoa vitu vinavyonikondesha
Aah aaah Nisaidie
Aaah aaah Nisaidie

[VERSE 2]
Itakuwaje baba jirani wanajua nimeokoka
Na vile mimi ninateseka niko na deni hata kwa mama mboga.
Wamenidharau watakudharau
Mungu wa Ibrahimu waonyeshe kwamba hujanisahau
Uuuu uuuu uuuu
Kama Shadrack Meshack Abedinego
Hata wanirushe kwenye moto
Nikikosa ya dunia bado sitawainamia
Sitawainamia
Aaaah aaah Nisaidie
Aaaaaaah Nisaidie
Aaaah aaah Nisaidie
Aaaaaaah Nisaidie
??
Kwa kila kitu nifanyacho Baba nisaidie, nisaidie
Kwa kazi ya mikono yangu Baba nisaidie, nisaidie
Uniweke mbali na balaa baba nisaidie, nisaidie
Niweke mbali na hasara
Nisaidie, nisaidie

Watch Video

About Nisaidie

Album : Nisaidie (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Oct 19 , 2020

More PITSON Lyrics

PITSON
PITSON
PITSON

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl