Chombo Chako Lyrics by PAULO SIRIA


Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na giza niletee mwanga
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na chuki nipande upendo wa agape

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na huzuni niletee furaha yako
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na ugomvi niletee amani yako

Mungu anasema
Mungu akuita mwenye kiburi
Kuwapa wanyenyekevu neema
Ndugu amini sasa Mungu yupo

Kuliko useme kwamba Mungu hayuko wewe
Alafu ufe ukakutane naye

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na giza niletee mwanga
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na chuki nipande upendo wa agape

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na huzuni niletee furaha yako
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na ugomvi niletee amani yako

Watu wa Mungu kuokoka haitoshi
Sasa si pitisha wokovu wako
Imani bila maneno imekufa
Soma Yakobo mbili kumi na nne

Yafaa nyinyi mtubu sema na imani
Lakini ana matendo imekufa iyo
Tafadhali wewe

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na giza niletee mwanga
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na chuki nipande upendo wa agape

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na huzuni niletee furaha yako
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na ugomvi niletee amani yako

Amini amini nawaambia
Amani ya kweli iko kwa Yesu
Kule kwa waganga hakuna amani
Ni mateso tupu na mahangaiko
Amani kwa Yesu, upendo kwa Yesu
Kimbia haraka upate kupona 

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na giza niletee mwanga
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na chuki nipande upendo wa agape

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na huzuni niletee furaha yako
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na ugomvi niletee amani yako

Ni kweli kabisa we umeokoka
Au unajitahidi kumzalia Mungu matunda
Lakini tatizo lako hauna upendo
Soma nami Timotheo tano nane
Asiyewatunza wa nyumbani wake
Ni mbaya kuliko asiye amini wewe

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na giza niletee mwanga
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na chuki nipande upendo wa agape

Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na huzuni niletee furaha yako
Eeh Mungu nifanye chombo chako
Palipo na ugomvi niletee amani yako

Eeh Baba chana wivu shusha neema yako
Eeh Baba chana wivu shusha neema yako
Eeh Baba chana wivu shusha neema yako
Eeh Baba chana wivu shusha neema yako

Watch Video

About Chombo Chako

Album : Chombo Chako (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 30 , 2020

More PAULO SIRIA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl