Ahadi Lyrics by PAUL CLEMENT


Ahadi ya Mungu sio deni
Ahadi ya Mungu sio deni

Mungu hawezi kuahidi
Asichoweza timiza
Mungu hawezi kuahidi
Kama hana uhakika

Mungu hawezi kuahidi kitu chochote
Kama ana mashaka
Vyote alivyoahidi anaweza kutimiza
Kila alichoahidi kiko ndani ya uwezo wake
Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau

Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza

Mungu amesema tuombe lolote kwake
Tuombe lolote kwa jina lake
Ameahidi atatupa vyote
Na hatopoteza chochote

Alivyoahidi haanzi kutafuta
Alivyoahidi anavyokavitunza
Alivyoahidi amevitunza
Ameviweka kwenye ghala ya baraka

Anasubiri muda mwafaka
Aweze kutupatia
Hata kama inachelewa ingoje
Ahadi ya Mungu ingoje

Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau
Mungu hasemi uongo wala hadanganyi
Alichoahidi hawezi kusahau

Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza

Ahadi za Mungu sio deni
Ahadi za Mungu ni kweli
Ahadi za Mungu subiri
Atazitimiza, atazitimiza

Ni kweli, ni kweli
Ahadi zake, upendo wake, neno lake
Ni kweli, ni kweli
Ni kweli, ni kweli

 

Watch Video

About Ahadi

Album : Ahadi (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 21 , 2020

More PAUL CLEMENT Lyrics

PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl