Damu Yako Yenye Baraka Lyrics by PAPI CLEVER & DORCAS


Damu yako yenye baraka inayo tuosha makosa
Ilitoka msalabani, Bwana Yesu, ulipokufa
Nastahili ‘pata hukumu, na siwezi mimi kujiosha
Unioshe katika damu nipate kuwa safi kabisa

Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa

Yesu, ulivikwa miiba, kuangikwa juu ya mti
Ulivumilia mateso, maumivu na majeraha
Ninataka kijito hicho, n’ende na nikasafishwe sana
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa

Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa

Baba, kweli nina makosa, moyo wangu wa udhaiffu
Mimi mwenye dhambi rohoni nitaona wapi Mwokozi?
Yesu, kwako msalabani naja, ninakuamini sasa
Unioshe katika damu,, nipate kuwa safi kabisa

Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa

Bwana, nimefika karibu, unilinde kwako milele
Ufungue kila kikamba, unijaze moyo mwenyewe
Na karibu ya msalaba nitakaa hata kufa kwangu
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa

Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Safi, safi kweli, safi, safi kweli
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa
Unioshe katika damu, nipate kuwa safi kabisa

Watch Video

About Damu Yako Yenye Baraka

Album : Damu Yako Yenye Baraka (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 13 , 2023

More PAPI CLEVER & DORCAS Lyrics

PAPI CLEVER & DORCAS
PAPI CLEVER & DORCAS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl