Niseme nawe Lyrics by OTILE BROWN


Waniona nakuangalia,
Na tayari ushajua kuwa naitaka, yo
Mimi ni mgeni huku na ata nilikotoka,
Pia sijawahi ona kama yo,
Nacho kiuno chako, unavyokizungusha roho yangu,
Unairusha eh, unairusha oh mama,
Mbona kuvava la mvuvi,
Haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
Njoo udensi na mtoto mjini
Kuvava la mvuvi,
Haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
Njoo  na mtoto wa mjini
PRE-CHORUS:
Eti ukisonga nami ntasonga,
Hutaki niguse, nayashakoma,
Usiwe na wasiwasi ma,
Mimi nitafuata na unavyofanya
Eti ukisonga nami ntasonga,
Nami ukinipa pia sitakataa
Usiwe na wasiwasi ma,
Mimi nitafuta unavyofanya
Mimi nataka nipakate 'si yake
Pakate 'si yake eh,
Pakate 'si yake,
Mpaka jua lichomoze
Ila sasa limetoka sitojua, eeh x2
Mimi na wewe, eh eh eh x2
Mimi nahisi kama kuna sababu tunakutana,
Mbona tunalingana,
Mambo mengi tunalingana nawe,
Basi taratibu usinikanyage,
Nguo yangu usiichane,
Nia yangu sio mbaya,
Ninacho omba n' nafasi nikujue,
Ohh ohh.
Haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
Njoo udensi na mtoto wa mjini
Uvava na mvuvi,
Haya mambo yanahitaji nyuza ya maji marefu, hauyawezi
Njoo udensi na mtoto wa mjini,
PRE-CHORUS:
Eti ukisonga nami ntasonga,
Hutaki niguse, nayashakoma,
Usiwe na wasiwasi ma,
Mimi nitafuata na unavyofanya
Eti ukisonga nami ntasonga,
Nami ukinipa pia sitakataa
Usiwe na wasiwasi ma,
Mimi nitafuta unavyofanya
[Mimi nataka nipakate 'si yake
Pakate 'si yake eh
Pakate 'si yake
Mpaka jua lichomoze
Ila sasa limetoka sitojua eeh] x2
Mimi na wewe eh ehe ehe x2
Eh nataka nikujue wewe
Mimi nataka n'kjue
Moyo wangu nikujue
Sikatae niugue we

Watch Video

About Niseme nawe

Album : Niseme Nawe (Single)
Release Year : 2017
Copyright : (c)2017
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 07 , 2020

More OTILE BROWN Lyrics

OTILE BROWN
OTILE BROWN
Hi
OTILE BROWN
OTILE BROWN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl