Leilah Lyrics by OTILE BROWN


Leilah Lyrics
 

Oooh yeah, aah aah yeiyeee
Alright

Anaitaka hapati
Alijaliwa kidhamini
Yeiyei yeiyee mmmh

Hakika mwana akipenda kweli
Atapigana vita vingi
Aibu sio penzi

Hivyo unampendea nini
Wakati kila kutwa anakuliza
Unang'ang'ania nini
Ni zaidi ya heri sivuti

Wanaume wengi ni kama -
Hawamaanishi wasemacho
Ni waongo hawafai

If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora 
Mwanamke anahitaji matunzo

Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo

Changu chako, chako changu mi nawe
Na wewe
Tena niacha utoto, kutwa kucha machangu
Nikuoe

Nitakuwa shujaa wako mama 
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Ukinihitaji mama, nipigie simu yangu

Nitakuwa shujaa wako mama 
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Nipigie simu yangu

If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora 
Mwanamke anahitaji matunzo

Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo

If I was with you Leila
If I was with you Leila
If I was with you Leila
If I was with you Leila

Ningekupenda ipasavyo my beiby

Watch Video

About Leilah

Album : Just In Love Album (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Just In Love Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 02 , 2020

More lyrics from Just in Love album

More OTILE BROWN Lyrics

OTILE BROWN
OTILE BROWN
Hi
OTILE BROWN
OTILE BROWN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl