ONE SIX Imani cover image

Imani Lyrics

Imani Lyrics by ONE SIX


Hali sio my mama
Usichoke vumilia ya mashida tu
Hali si unaiona
Sina mchungwa nimeokota maembe

Wametufilisi kila kitu
Tumeamulia kitanda
Tungelipa vipi ule mkopo
Wezi walishaiba kitanda

Uhai cha kwanza shukuru
Bado tutaishi hivyo hivyo
Tukisonona tutakufuru
Ingawa madhiki hivyo hivyo

Aii hatujakatwa miguu
Wala hatujakatwa mikono
Tusivunjike mioyo
Yupo Mungu ana maono

Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)
Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)

Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)
Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)

Kama niliweza kuchoma mahindi
Ukulima vibarua na baridi ya mzigi
Kumbuka niliweza kuhustle mgodini
Ungali na mimba kamtoto tumboni

Tukaja ishi kistaa
Tz nzima, One Six, One six tu
Na ule ukubwa jina
Mtaa kwa mtaa, One Six, One six tu

Bado naamini tutasimama tena
Tena tena
Baby niamini tutainuka tena
Tena tena

Uhai cha kwanza shukuru
Bado tutaishi hivyo hivyo
Tukisonona tutakufuru
Ingawa madhiki hivyo hivyo

Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)
Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)

Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)
Bado nina imani 
(Imani, imani, imani, imani, imani)

Watch Video

About Imani

Album : Imani (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 28 , 2019

More ONE SIX Lyrics

ONE SIX
ONE SIX
ONE SIX
ONE SIX

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl