Boss Lyrics by OKELLO MAX


Napenda zile vitu unanipea
Yele yelipea
Napenda zile vitu unanipea
Yele yelipea
Napenda zile vitu unanipea
Okello Max again…yeah
Yele yelipea
Napenda zile vitu unanipea
yelelelelelipea
A-huh! Okay

I got people on my stories who call me joker
Lakini watu wa mtaa wananiita Sol child
 (Sol generation)
Na pia kwenye muziki wananiita mamba
Kuna fununu eti pia mi naitwa sniper
Okay uliza manzi yako

So we keep it on the low
Are you ready to go
Nimekuwa nikikutazama
But you already know
Baby keep it on the low
Are you ready to go
Nimekuwa nikikutazama
But you already know
Majina yako mengi na si Ati naforce ei
The name’s Okello Max but you can call me BOSS eeei

Iluonga ni, iluonga ni boss
Sema, iluonga ni, iluonga ni boss, ei
Iluonga ni, iluonga ni boss
Sema, iluonga ni, iluonga ni boss, yeah
No no no no no no

Mashore wote hapa najua wamenikufa
Nashindwa kuchagua ju wote ni wasupa
And all my guys are ballers ndio maana si hutesa
We live life so easy si hatuna pressure ooh

So we keep it on the low
Are you ready to go
Nimekuwa nikikutazama
But you already know
Baby keep it on the low
Are you ready to go
Nimekuwa nikikutazama
But you already know
Majina yako mengi na si Ati naforce ei
The name’s Okello Max but you can call me BOSS eeei

Iluonga ni, iluonga ni boss
Sema, iluonga ni, iluonga ni boss, ei
Iluonga ni, iluonga ni boss
Sema, iluonga ni, iluonga ni boss, yeah

Wananiita rasta ju vile nimewalock
Napiganga za kwaya iwe reggae ama rock
Mangoma nyingi nimejaza kwenye stock
Live wire me ndio electric shock
Traffic lights haziwezi kunistop
Hata mapolisi wanatry tu kucope
Oh no no no no noooo
Hata mapolisi wanatry tu kucope

So we keep it on the low
Are you ready to go
Nimekuwa nikikutazama
But you already know
Baby keep it on the low
Are you ready to go
Nimekuwa nikikutazama
But you already know
Majina yako mengi na si Ati naforce ei
The name’s Okello Max but you can call me BOSS eeei

Iluonga ni, iluonga ni boss
Sema, iluonga ni, iluonga ni boss, ei
Iluonga ni, iluonga ni boss
Sema, iluonga ni, iluonga ni boss, yeah

Napenda zile vitu unanipea
Yele yelipea
Iluonga ni boss yeeeah
Napenda zile vitu unanipea
Yele yelipea
Oooh wuod Pamela
Napenda zile vitu unanipea
Iluonga ni boss yeeeah
Yele yelipea
Napenda zile vitu unanipea
Yele yelipea
Napenda zile vitu unanipea

Watch Video

About Boss

Album : Boss (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Dec 17 , 2022

More OKELLO MAX Lyrics

OKELLO MAX
OKELLO MAX
OKELLO MAX
OKELLO MAX

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl