NINI Shoga Cover cover image

Shoga Cover Lyrics

Shoga Cover Lyrics by NINI


Ninaulizwa mimi na wewe mbona hatuelewani
Wakati urafiki wetu kila mtu anaufahamu
Ila leo lazima niseme
Kuwa wewe ni mzushi tena muongo

Na kumbe una lako jambo
Uliponishauri niachane naye

Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe

Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana 
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana 

Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
Umenikosea
Inaniuma sana ulivyonitenda
Tuone furaha yako itaishia wapi

Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
Umenikosea
Inaniuma sana ulivyonitenda
Tuone furaha yako itaishia wapi

Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe

Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana 
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana 

Nitapata wapi rafiki mwema
Kila rafiki adui tena
Nakula nawe, nacheka nawe
Nikikupa chongo ndo unanisema

Hata ukisema vibaya(Sawa)
Niombee mabaya(Sawa)
Kunja roho mbaya(Sawa)
Moyoni nina Jesus power(Power)

Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana 
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana 

Watch Video

About Shoga Cover

Album : Shoga Cover (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 10 , 2019

More NINI Lyrics

NINI
NINI
NINI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl