NIMO Najua cover image

Najua Lyrics

Najua Lyrics by NIMO


(Alexis on the beat)

Kuna wakati ulifika
Mbingu ilinyamaza sana kwa maisha yangu
Nikataka kwenda mbali na mbingu
Mambo ya kusifu sikutaka tena

Nikashindwa Mungu wangu yuko wapi?
Tena nikawaza bingu yangu iko wapi?
Nikakumbuka matendo yako uliyoyatenda

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Nakutumainia Bwana aaah aaah
Nakutumainia Bwana oooh 

Na nikiwa kwa uwepo wako
Mi najua mimi nitapona tena 
Na nikiwa kwa mwanga wako
Mi najua mimi nitaona tena, iyaa ah

We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu
We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Watch Video

About Najua

Album : Najua
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Starborn Empire.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 13 , 2020

More NIMO Lyrics

NIMO

Comments ( 1 )

.
6473 2020-04-13 19:54:41

Beautiful



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl