Chini Lyrics by NAY WA MITEGO


Oya oya kumekucha wazee
Fifika ka busy wa bucha wazee
Tule ujana hatufiki uzee
Pesa inatongozwa ukiwa domo zege

Kwani mayai bwana na ifunuliwe
Mama amekaa vibaya usiyachungulie
Wakubwa tunasema mtoto halali na pesa
Ukichunguza mambo yangu utakufa na presha

Hii ni mazoea kabla hujaniomba msamaha
Nasamehe tu 
Dunia duara usishindane na ulipotoka
Hio haikomolewi bwana, mwenyewe utachoka

Haya weka, weka weka weka
Weka weka weka
Haya kamatia weka weka weka weka
Weka weka weka

Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)

Chini, chini, chini, chini

Wakipeleka chini waisubirie juu
Maisha mazuri na bado sina makuu
Mtanuna mwisho mtasusa
Si mmeanda tofali mje kujenga ufa

Shida wote tunazo na bado tunabanjuka
Tushamtukana mamba na mto tunaouvuka
Treni imeanguka, mpira umepasuka
Ushajijua una kipara unataka kusuka

Hizo chuki zako ni bure
Huwezi kuwa mimi kafie mbele
Utakuua wivu we ngendele 
Tushazichanga changa njoo tule 

Haya weka, weka weka weka
Weka weka weka
Haya kamatia weka weka weka weka
Weka weka weka

Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini nasema chini kwa chini (Chini)
Chini kwa chini wanangu chini kwa chini (Chini)

Chini, chini, chini, chini

Watch Video

About Chini

Album : Chini (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 28 , 2021

More NAY WA MITEGO Lyrics

NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl