Wanibariki Lyrics by NANDY


Mmmh ooh Baba
Niwe pekee wanijua vyema
Kwako sitetereki kamwe
Wanitenda mema na kunipa heshima
Umenifanya nisimame

Na kama nikishikwa na shida
Nitakimbilia hekaluni mwako
Nitajaza nafsi mbele zako bwana
Nitasema yote yanayonishinda

Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana
Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Hakuna giza tena wala hakuna mashaka
Umeivua laana umenivika baraka
Moyo wangu wakutamani ewe baba
Nafsi yangu yakulilia
Umenijaza imani sio haba neno lako nashikilia

Umenishika mkono wako (Asante Asante)
Umenivusha magumu (Asante Asante)
Umenishika mkono wako (Asante Asante)
Umenivusha magumu (Asante Asante)

Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana
Nilipo mie na wewe upo
Nilipo mie na wewe upo Bwana

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Haa, wanibariki eeh
Haaa aah, sitokuacha milele
Haa, wanilinda mie
Haaa aah, nitakuabudu milele

Milele milele milele
Milele..ooh baba wanibariki mimi
Na wabariki na wao

Watch Video

About Wanibariki

Album : Wanibariki (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 African Princess.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 05 , 2021

More lyrics from Wanibariki (EP) album

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl