NANDY Raha  cover image

Raha Lyrics

Raha Lyrics by NANDY


Nawaza ingekuaje kama ningekukosa
Nawaza
Inamaana hizi raha zote ningezikosa
Nawaza
Penzi limenikolea kama mtoto anashindwa tembea
Raha zimenibombea kwa mama nitakusemea
Si wanasemaga penzi bonde na milima nipeleke
Unichonipaga usidiriki kunyinma mi nideke
Penzi limetaradi oya halima acha nicheke
Nilale ama mi nisimame wima

Unanipa raha, nazidi kuwa mdogo mi sikui
Unanipa raha
Nifanye kitafunwa unile
Unanipa raha
Zidi kunifundisha mi sivijui
Unanipa raha
Nianze kukulisha ndo nile
Oh oh oh oh oh oh oh
Oh oh oh oh oh oh oh
Oh oh oh oh oh oh oh

Hadi kucha zinaisha
Nikikuona nazing’ata
Unavyonizubanisha mi napagawa oyani tu
Tuache yote tisa, kumi nakupa limbwata
Unavyoniburudisha mi napagawa
Nakupenda unanipenda mpaka rahaa
Nikikuona tu nashiba sina njaa
Hili penzi limejawa na furaha
Wakikuiba natoa mtu kafara
Si wanasemaga penzi bonde na milima nipeleke
Unachonipa usidiriki kuninyima mi nideke
Penzi limetaradi oya halima acha nicheke
Nilale ama mi nisimame wima

Unanipa raha, nazidi kuwa mdogo mi sikui
Unanipa raha
Nifanye kitafunwa unile
Unanipa raha
Zidi kunifundisha mi sivijui
Unanipa raha
Nianze kukulisha ndo nile

Watch Video

About Raha

Album : Raha (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jun 08 , 2023

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl