Kufuli Lyrics by NANDY


Chu chu chu, chukua
Chu chu chu
Chu chu chu
Chu chu chu, chukua
Chu chu chu

Eiiiiii
Nakupenda unajua baby
Usinifanye vibaya, mwenzako ntaumia
Eiiiiii
Nakupenda unajua baby
Usinifanye vibaya, mwenzako ntaumia
Usinimix na viswaswadu, utanidhalilisha
Mi sio level zao zao, utanika sirisha
Aku mi sipendi tabu, utaniha ngaisha
Mi sio level zao zao, utanika sirisha
Aaahhh eeeeeeh
Eeh eeeh eeeeh
Zipu weka kufuli, kufuli tia kufuli, kufuli aaahh shuuu
Weeeh, waaa chaaa
Kwichi chichichii
Wacha cha chacha
Kruuu kwichi kwichi
Wachaaa, weeeeh, wachaaa
Kwichi chichichii
Wacha cha chacha
Kruuu kwichi kwichi
Wachaaa
Kwichi chichichii
Wacha cha chacha

T  Boy daflame
Aah whiii
Aaah baby mi nikipenda nakera
Wivu wangu unaboa
Usinifanye vibaya, mwenzako ntaumia
Baby mi nikipenda nakera
Wivu wangu unaboa
Usinifanye vibaya, mwenzako ntaumia
Basi nipe yote, kisibaki kiporo
Aahh tukeshe wote
Yani mpaka tomorrow oooh, nipe vyote
Supu mpaka kongoro, aaah kote kote
Mpaka kwenye uchochoro, chochoro chochoro

Weeeh, waaa chaaa
Kwichi chichichii
Wacha cha chacha
Kruuu kwichi kwichi
Wachaaa, weeeeh, wachaaa
Kwichi chichichii
Wacha cha chacha
Kruuu kwichi kwichi
Wachaaa
Kwichi chichichii
Wacha cha chacha

Chu chu chu, chukua
Chu chu chu
Chu chu chu
Chu chu chu, chukua
Chu chu chu

Watch Video

About Kufuli

Album : Kufuli (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Nov 08 , 2021

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl