Salio Lyrics by MZEE WA BWAX


Amini kwamba Mzee wa Bwax hapa 
Mtoto wa nje ya ndoa
Ugoko wa mende biskuti ya chuma
Kata tuone, chuma kwa chuma, che che

We Dj Manyau
MRT sounds

We marota usione sikupigii
Sijaweka salio
Mwanangu usione nakudharau
Sijaweka salio

Mmmh baby wangu usione sikupigii
Sijaweka salio
Mchapu yangu usione nakudharau
Sijaweka salio

We masimu boti kisimu changu laini moja
Nieke Tigo nieke Voda?
We masela kisimu changu laini moja
Nieke Tigo nieke Voda?

Ah wenyewe si mnaona
Hali ni ngumu si mnaona
Ooh wanangu si mnaona
Maisha magumu si mnaona

Jamani usione sikupigii
Sijaweka salio
Chapu yangu usione nakudharau
Sijaweka salio

Mmmh baby wangu usione sikupigii
Sijaweka salio
Masharafu usione nakudharau
Sijaweka salio

Na ndo maana sitaki kuoa mke wa pili mama
Naogopa mkorogo bei ya ghali sana
Mzee wa Bwax sitaki kuoa mke wa pili mama
Naogopa mkorogo bei ya ghali sana

Usione amekuja ghetto
Jua anataka dera
Usione anakuchekea ghetto
Jua anataka bia

Usione amekuja ghetto
Jua anataka dera
Usione anakuchekea ghetto
Jua anataka bia

Amini kwamba Mzee wa Bwax hapa 
Mtoto wa nje ya ndoa
Ugoko wa mende biskuti ya chuma
Kata tuone, chuma kwa chuma, che che

Tunajimwaga mwaga, tunajimwaga
We masela tunajimwaga mwaga, tunajimwaga

----

Watch Video

About Salio

Album : Salio (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 08 , 2020

More MZEE WA BWAX Lyrics

MZEE WA BWAX
MZEE WA BWAX
CCM
MZEE WA BWAX
MZEE WA BWAX

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl