MZEE MONDI Unanijua cover image

Unanijua Lyrics

Unanijua Lyrics by MZEE MONDI


 

Ata simba ananijua aga aga
Konki master ananijua aga aga aga
Pierre Liquid na wewe si unanijua

Woiyoooo...
Shaja boy unamjua
Roho msabwanda mnamjua
Cheki team macho mnayajua

Babu Tifa(naam mwanangu naam mwanangu)
Mwanao nina shida (niambie nikutatulie)
Nitawezaje kudumu kwenye mapenzi 
(Unahitaji uwe na roho ngumu sana mwanangu)
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu

Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga

Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga

Maisha ya mjini
Boda boda bajaji 
Usingizi wa watu
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu

Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga

Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga

Watch Video

About Unanijua

Album : Unanijua (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 23 , 2019

More MZEE MONDI Lyrics

MZEE MONDI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl