MWANAFA  We Endelea Tu cover image

We Endelea Tu Lyrics

We Endelea Tu Lyrics by MWANAFA


Kwa Mungu hakuna majungu
Mi nina Mungu
We endelea tu(Aaah, aah)
We endelea tu

Kwa Mungu hakuna majungu
Mi nina Mungu
We endelea tu(Aaah, aah)
We endelea tu

As you can see am ghetto and fabulous
Hella zinafanya dunia inazunguka 
Let me handle this
Sihitaji beats kutingisha kichwa chako
Naflow tu kama nina beats za moyo wako
Wakikuuliza naendelea aje 
Waambie vizuri zaidi ya jana
Vizuri zaidi ya wao, Mungu ana manguvu sana

Miluzi mingi na kubwa la mbwa sipotei
Mipango ya miaka chungu nzima na dira hunitoi
Yeah naitika nikijisikia, maisha usiyavalie kikoi
Na sio lazima yakubali, kwani una yadai
Subira haivuti bangi, haigongi nyagi
Inavuta heri tu na haijawahi kubugi
Kilienda kwa mganga na ka unavyoona kimerudi
Hata kama hukipendi kukiheshimu inakubidi

Mbuyu ulianza ka mchicha ila mcha haujawahi kuwa mbuyu
Sikiza walofanikiwa, ongeza zako mbayu wayu
Anayejifanya anakwamua, anakushika upigwe babu
Mtia mitama, siku nyingine hashiki adabu
Kama message sipendi, boss namshoot mpaka messenger
(Boss namshoot mpaka messenger)
We endelea tu

Kwa Mungu hakuna majungu
Mi nina Mungu
We endelea tu(Aaah, aah)
We endelea tu

Kwa Mungu hakuna majungu
Mi nina Mungu
We endelea tu(Aaah, aah)
We endelea tu

Kiko ntawa, kishuwa uki mtaa
Nikucheza na namba namba ka mtu mbaya Salah
Kiko ntawa, kishuwa uki mtaa
Nikucheza na namba namba ka mtu mbaya Salah

Tafta hela za kutosha ila usipige nazo picha
Maisha yanabadilika, kausha nitakufundisha
Pozi za kigoloko lazima zitakufelisha
Amua mwenyewe, utazika utasafirisha?
Hakuna kukupigia ngoma kukuambia kuwa umekua
Miyeyusho majukumu, utakuja tukuombe dua
Utaamka tu unajua kuwa wachawi pia wanafiwa
Hata ukiwa kiboko kuna mahali utazidiwa 

Huh, ukiwa mkubwa utataka kuwa kama mimi
Shati navaa la jana ila gari nimebadili
Heshima yako ilienda wapi? Heshimu pesa baada ya dini
Kwenu hakuna wakubwa wangekuwepo ungeniamini
Mwanga siti mtoto amlee, kwanza namkausha kizazi
Kata sehemu za siri, zitupe mto Zimbazi
Mi sio mgeni hapa, najua miili inapozikwa 
Na kitabu hapa najua nini kimeandikwa

Ni rehema za Mungu tu na maamuzi yake tu
Kashamuua, alicho amua si ni wake tu
Kisasi ya kita nitibu hela na we utakuwa umeumia
So hata nisipo kwambia, hivi ndo navyo jiskia

We endelea tu(Aaah, aah)
We endelea tu(Aaah, aah)
(Aaah, aah)

We endelea tu
We endelea tu

Watch Video

About We Endelea Tu

Album : We Endelea Tu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c)2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 27 , 2019

More MWANAFA Lyrics

MWANAFA
MWANAFA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl