MUHONJA Unataka nini? cover image

Unataka nini? Lyrics

Unataka nini? Lyrics by MUHONJA


Sitakimbizana na wewe eeh
Sitafuatana na wewe eeh
Sitalia na wewe we
Sitacheka cheka na wewe eeh

Sasa iwaje leo hii
Mwili wangu hutaki tena daddy
Sasa iwaje leo hii
Mwili wangu hutaki tena mpenzi

Eti umepata mwingine 
Ni mweupe kunishinda daddy 
Eti umepata mwingine 
Amebeba kunishinda daddy 
Eti umepata mwingine 
Amejaza kunishinda daddy yeah yeah yeah

Niambie nitafanya
Nieleze nitatenda
Nijulishe nitambue

Niambie nitafanya
Nieleze nitatenda
Nijulishe nitambue

Wewe unataka nini wewe
Unataka nini?
Unataka nini wewe
Unataka nini?

Niambie nitafanya
Nieleze nitatenda
Nijulishe nitambue
Niambie nitafanya wee

Unataka nini wewe
Unataka nini?
Oooh, oooh ooh...

Aki matusi mateka mangumi 
Mume wangu wee mwili unaunama
Majirani, rafiki, watoto
Wazazi wangu wee wamechoka kutatua

Unanijaza huzuni machozi
Mawazo tele kichwa itaruka
Madakitari, machifu, polisi
Wazee wa mtaa, huyu ataniua

Mama, bora nirudi nyumbani
Baba, niruhusu niende
Watanisema watanisimanga
Watanisengenya na bora niko uhai
Watanicheka, watanilaani
Watanitukana, Nina amani

Watanisema watanisimanga
Watanisengenya mimi niko uhai
Watasimanga Wananicheka, watanilaani
Mimi niko uhai

Kama hunitaki tena
Niambie niondoke kuliko kunitesa

Wewe unataka nini wewe
Unataka nini?
Unataka nini wewe
Unataka nini?

Niambie nitafanya
Nionyeshe nitatenda
Nijulishe nitambue

Watch Video

About Unataka nini?

Album : Unataka Nini? (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 05 , 2020

More MUHONJA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl