MON STAR Muacheni Diamond Platnumz cover image

Muacheni Diamond Platnumz Lyrics

Muacheni Diamond Platnumz Lyrics by MON STAR


Alianza kama utani
Mungu si adhumani sauti akajibu
Leo ni kipenzi cha watu
Sio mwingine ni Diamond

Alikuwa hatamaniki masikini
Alitafuta bila majibu
Lau sio mwingine eeh eh eh
Ni Diamond

Mungu hamtupi mja wake
Akamweka kwa nji yake
kwa vile alitafuta sana
Bila kukata tamaa

Hivi ni koo cha wengi
Na tunajivunia kumpata Diamond
Mmmh kimbilio la wengi
Ndoto zao akazishika Mondi

Akapata kidogo akaona sio kesi
Kamshika Mbosso, Rayvanny na Jeshi
Lavalava, Zuchu na tunawaona

Nikisema niseme yote nitamaliza vitabu
Kama misaada mingi hadi nashindwa kuhesabu
Na poleni kwa wanaowapa taabu
Hasa mkisieni ikipigwa baba lao
(Eeh Mondi Baba Lao)

Muacheni, ooh muacheni
Muacheni, ooh muacheni
Ooh muacheni, oh muacheni

Leo kila kona mtamsikia (Diamond)
Pande zote za dunia (Diamond)
Huenda ya cheka atafurahia (Diamond)

Dada zetu wanamzimia
Mixer mimba kumsingizia
Skendo kibao wanamzushia aah aah

Na wapo walosema mengi kumhusu yeye
Wala hajibu
Wengine wanaweka ligi
Kushindana naye huyu bwana Naseeb

Nikisema niseme yote nitamaliza vitabu
Kama misaada mingi hadi nashindwa kuhesabu
Na poleni kwa wanaowapa taabu
Hasa mkisieni ikipigwa baba lao
(Eeh Mondi Baba Lao)

Muacheni, ooh muacheni
Muacheni, ooh muacheni
Ooh muacheni, oh muacheni

Watch Video

About Muacheni Diamond Platnumz

Album : Muacheni Diamond Platnumz (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 22 , 2020

More MON STAR Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl