MKALI WENU Baharia  cover image

Baharia Lyrics

Baharia Lyrics by MKALI WENU


Mabaharia wote kama tulivyokubaliana 
Kwenye kikao kilichopinga
Hakuna baharia wowote
Anayeruhusiwa kumwambia dem wake ukweli
Dem yeyote lazima aongopewe
Lakini pia hakuna baharia yeyote 
Anaruhusiwa kumpa dem nauli akija ghetto

Tumeelewana mabaharia? Ndio!
(Safi Sana.....)

Mabaharia, kesho nimeitwa ukweni alafu sina kitu
Tunafanyaje? (Dacha)

Ukienda ukweni usiogope kuuma nauli, baharia
Baharia wa kweli anaoga kwa mwezi mara mbili, baharia
Baharia anakopa na kabla hajalipa
Deni anakopa tena, baharia

Ghetto la baharia eeh, halikosi putururu
Hapa vumbi la kungu, pale chuzi la pweza
Ni mamba inatujua eeh, tunavyofanya kufuru
Mara pinda mgongo, chumvini tumeteleza

Hatumi ya kutolea, wala hakatai mimba(Baharia)
Dem wake havalii wiggy, wala hapaki make up(Baharia)
Kisoda wala maji, ni mwendo wa konyagi(Baharia)
Ala laki mbili, anahonga laki tano(Baharia)
Mkita mwenye chura, anakaza hageuki(Baharia)
Akipita kimbaumbau yeye kabisa hashtuki(Baharia)
Mkali joti, naacha snare(Baharia)
Dj choka, idadi lipia(Baharia)

Hahahaha mabaharia wangu wote Tanzania
Manake sahivi wengi wanavaa vigodoro
Hahahaha...

Baharia gani Peter Msechu na ina kitambi
Baharia gani, Baraka Mwana mweusi
Baharia gani, Juma Lokole kuchamba kwingi
Baharia gani, Fid Q una vijulusi

Baharia gani wewe, mwana mapepe
Baharia gani wewe, alafu mwana mweupe
Baharia gani wewe, mbona sikusomi
Baharia tangu lini akatoka kinondoni

Ghetto la baharia eeh, halikosi putururu
Hapa vumbi la kungu, pale chuzi la pweza
Ni mamba inatujua eeh, tunavyofanya kufuru
Mara la pinda mgongo, chumvini tumeteleza

Hatumi ya kutolea, wala hakatai mimba(Baharia)
Dem wake havalii wiggy, wala hapaki make up(Baharia)
Kisoda wala maji, ni mwendo wa konyagi(Baharia)
Ala laki mbili, anahonga laki tano(Baharia)
Mkita mwenye chura, anakaza hageuki(Baharia)
Leta kimbau mbau yeye kabisa hashtuki(Baharia)
Mkali joti, naacha snare(Baharia)
Dj choka, idadi lipia(Baharia)

Wewe, baharia mgani unaamka hata hunuki mdomo
Baharia wa kweli lazima atoke jasho la kwapa
Na kuanzia leo makutano ya baharia yatakuwa ya Buza peke yake
Baharia gani unatumia simu ya tachi

Dacha!

Watch Video

About Baharia

Album : Baharia (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 11 , 2019

More MKALI WENU Lyrics

MKALI WENU
MKALI WENU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl