Una Lyrics by MIMI MARS


Mimi Mars ft Young Lunya & Marioo - Una lyrics

(RoofTop audio station)

Na anajiamini 
Halali nje analala na mimi
Ndani ndani

Wengine wa nini? Yeiye
Anadata anavyopewa na mimi
Chumbani chumbani

Una unanichanganya(Una una)
Unavyonifanya(Una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipazaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee

Hata kama nitakosea usininunie beiby
Niambie
Bana si unajua mwanadamu 
Niambie

Na unavyoninogesha
Ukija kuacha
Mwenzako nitajutia
Utanitoa roho, utanitoa roho

Habari za mjini kwani nini wee
Natoka na mimi kwani nini wee
Mchezo mchezo na baby wa mimi wee
Tulipotoka wanajua ni nini wee

Sema ukweli nishampata, nishamnasa
Alafu sasa na kwenye bedi mtamu haswa
Chuma mimi ila sumaku ishamnasa
Pelekeni angaza huo wenu ushauri na sasa

Anavyozungusha hicho kiuno
Mimi ndo nazidisha miguno
Wanapataka sasa unavyowapatia michuno
Kwani hawapati usingizi wakisikia miguno

Una unanichanganya(Una una)
Unavyonifanya(Una una)
Unanichanganya sana

Tena ukinigusaga
Na kunipazaga
Unanichanganya sana

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote

Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unavyonipa vyote
Ukinigusa napagawa kote
Unanichanganya unanichanganya

Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee
Weka niweke wee

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya(Oooh yeah beib)
Umenishika pabaya
We bwana ni mbaya

Umenishika pabaya
Umenishika pabaya(Aaah aah)
Umenishika pabaya
We dada ni mbaya

Una una, una una
Una una, una una

Watch Video

About Una

Album : Una (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 20 , 2019

More MIMI MARS Lyrics

MIMI MARS
MIMI MARS
Mua
MIMI MARS
Ex
MIMI MARS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl