Shule Yako Lyrics by MERCY MASIKA


Baba nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako
Nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shuke yako kwa shule yako
Nikiwa nawe kama mwalimu
Ninajua nitahitimu
Nitashinda adui akileta majaribu
Unitayarishe unibadilishe
Mtihani nipite mwito nilipize
Nijue kuandika niandike maono yangu
Nijue kuhesabu nihesabu baraka zako
Nijue kuongea nihubiri neno lako
Kwa watu wako
Baba nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako
Nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako
Shule yako hatudanganyi ni ukweli na uwazi
Wanafunzi hawagomi mwalimu atujali
Unifunze mipango wote niwaheshimu
Yesu ni mwalimu yesu ni mwalimu
Nijue kuandika niandike maono yangu
Nijue kuhesabu nihesabu baraka zako
Nijue kuongea nihubiri neno lako
Kwa watu wako
Baba nichukue nifunze nataka kusoma,
Kwa shule yako kwa shule yako
Nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako

Watch Video

About Shule Yako

Album : Shule Yako (Single)
Release Year : 2017
Copyright : (c) 2017
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 19 , 2020

More MERCY MASIKA Lyrics

MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl