Mkono wa Bwana Lyrics by MERCY MASIKA


Uuuuuuuuh
La la la la la la la la
Umeomba sana aah
Umehangaika sana aah
Umengoja sana ila majibu huoni
Nyuma mbele kwa marafiki hutoshi eey

Usife moyo mungu hayuko busy
Ana mpango mwema juu yako
Usife moyo mungu hayuko busy
Ana mpango mwema juu yako

Hakika mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia
Mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia

Ahadi zake ni kweli
Njia zake sio kama binadamu
Akili zake ziko juu
Atusikia sisi wanadamu

Tulia.aah
Tulia na baba
Tusife moyo mungu hayuko busy
Ana mpango mwema juu yetu
Tusife moyo mungu hayuko busy
Ana mpango mwema juu yetu

Hakika mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia
Mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia

Si zito si zito
Ooh

Hallelluyah ni mwaminifu

Hakika mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia
Mkono wa bwana si mfupi halleluhya
Wala sikio lake si zito kusikia

Mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia
Mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia
Atatenda muujiza kwa ajili yako

Mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia
Mkono wa bwana si mfupi
Wala sikio lake si zito kusikia

Oooh
Yerah
Mkono wa bwana si mfupi

Watch Video

About Mkono wa Bwana

Album : Mkono Wa Bwana (Album)
Release Year : 2016
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 20 , 2020

More MERCY MASIKA Lyrics

MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl