MBOSSO Sitaki  cover image

Sitaki Lyrics

Sitaki Lyrics by MBOSSO


Iyo trone
Mimi, wewe, mimi
Ntakufa na wewe
Mimi, wewe, mimi
Ntakufa na wewe

Ni Baraka za mungu na malaika
Zimefanya mi nawe tujuane
Sina shaka maana imeandikwa
Ndege warukao wafanane
Sisikii la muadhini
Wala la mnadi swala
Tumelishana yaminia
Kwa dua sio kafara
Sio wa nyuzi tisini
Wala buku shin dara
Mambo ya kuzinizini
Tuwe halali twahala
Kama mapenzi ugonjwa wa mado
Mi kabisa kengeza
Na kama changuoni ndo kikulacho
Mi huyu kanimeza
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe

Ngamia wangu
Anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusushie njiani
Ngamia wangu
Anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusushie njiani
Oh oh usingizi wangu
Zeze la kitandani
Nimemuombea dua tusushie njiani
Ngamia wangu
Anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusushie njiani

Kama mapenzi ugonijwa wa macho
Mi kabisa kengeza
Na kama changuoni ndo kikulacho
Mi huyu kanimeza
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe
Na sitaki nishauriwe
Sitaki nishauriwe

Esh
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Esh
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Aii ma ma ma ma
Kanimwagia makopa jamani
Ai makopa
Hanimwagia makopa jamani
Aii mwa mwa mwa mwa
Hanimwagia makopa jamani
Aii ma ma ma ma
Kanimwagia makopa jamani

Watch Video

About Sitaki

Album : Sitaki (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 08 , 2023

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl