Assalaam Lyrics by MBOSSO


Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib

Uhali gani wa hali
Nakusalimu wa hali
Habib wa hali
Mi mzima wa shwaru
Hofu usiwe na swali
Moyo umetananari
Mazoea, yamenijengea jabia mwenzako
Nimelowea, ilo joto joto na harufu yako
Nimekolae, linanizongea jinni huba lako
Chochoea, upashe moto moto mwili wangu wako

(…)

Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib

Mbalamwezi imetanda ishara dunia tulivu
Jifunge upande kanga mkulima nichume mbivu
Farasi mi wako panda, sichoki sina uvivu
Deka katoto ka change, upo bahari tulivu
Nimekosa ndege wa anga namtuma tuyuri
Aje kwako kunipamba kwa maneno mazuri
Khan ooh, sina mganga wa kunipa kibuli
Sijui kilinge mi najua kitanda kuifanya shughuli

(…)

Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib
Assalaam alaykum ya habib

Watch Video

About Assalaam

Album : Khan (EP)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Oct 28 , 2022

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl