Chini Chini Lyrics by MATATA


Niko wera prr prr nacheki message Ig
Napiga marashi psh psh naseti fiti hygiene 
Nacheki msupa na dera na vile amebeba ka Vera
Na vile anatesa ka terroa shape namba nane Kibera

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Its a monday but am on a Friday vibe
Tuesday but am on a Friday vibe

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Wednesday but am on a Friday Vibe
Its a Thursday but am on a Friday vibe

Uhh Ahh Cheza chini chini
Chupa leta mbili mbili
Ni-na madem wawili wili
Na nina ganji inaniwasha ka pilipili

Who dat amedunga mini
Huddah cheki hio mwili
Mwambie sibongi lugha ingine ka si kiswahili
Na nina miti anaweza swing nae ka tumbili

Ahh anapika githeri na gas
Ahh anapika chapati na pas
Ahh anapenda vile me na dance
Niki puff na pass niko Khat na grass

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Its a monday but am on a Friday vibe
Tuesday but am on a Friday vibe

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Wednesday but am on a Friday Vibe
Its a Thursday but am on a Friday vibe

Mi hupenda wasupa gwangi na madiva
Mi hupenda nikiwa nyanya nimeiva 
Mi hupenda nikiwa whisky uko river
Mi hupenda chafua shingo na masilver

We hupenda kupika githeri na gas
Sijui ni kuomoka ama ancestors curse
Basi ka ndo form pika chapo na pasi
Ukifika club watilie mchele wa nazi

Ahh anapika githeri na gas
Ahh anapika chapati na pas
Ahh anapenda vile me na dance
Niki puff na pass niko Khat na grass

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Its a monday but am on a Friday vibe
Tuesday but am on a Friday vibe

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Wednesday but am on a Friday Vibe
Its a Thursday but am on a Friday vibe

Nimelipwa Tuesday nimesave kidogo
Pesa ingine nimetumia mukuro
Pesa kiasi nimenunua stockooo
Ile imebaki ni ya pombe na watoto (ahh ahh)
Ambia Sabina ajienjoy, Leo hatuendi kulewa sabina joy
Niko na doh ya kukunywa huko uptown
Lakini kwanza kanuthu apo downtown

Tunalewa na ni Tuesday Niko na doh ya kuparty ka Furdahi day
Niko busy na watoto bariki mzinga i slap kwa matako
Asubuhi ndo naingia kejani, kwa stairs nakutana na jirani
Wanani judge lakini sijali ju naenda kunyandua mali safi, eh!

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Its a monday but am on a Friday vibe
Tuesday but am on a Friday vibe

Uuh Ahh cheza chini chini
Uuha Ahh cheza chini chini
Wednesday but am on a Friday Vibe
Its a Thursday but am on a Friday vibe

Watch Video

About Chini Chini

Album : Chini Chini (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 13 , 2021

More MATATA Lyrics

MATATA
MATATA
MATATA
MATATA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl