MASAUTI Usikate Tamaa cover image

Usikate Tamaa Lyrics

Usikate Tamaa Lyrics by MASAUTI


My boo boo naelewa kinachokuliza
Hizi shida ipo siku zitakwisha
My boo boo naelewa kinachokuliza
Hizi shida ipo siku zitakwisha

Usilie
Ukilia utaniliza
Nivumilie
Yako machozi nitayafuta

Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki
Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki

Ukaja ukaniacha solo
Utaniliza mama
Hey beiby

Usikate tamaa
Penzi letu bado changa mama
Changamoto lazima 
Watatuona kama hatuna maana

Lakini nakusihi 
Vumilia vumilia vumilia mama
Vumilia vumilia vumilia mama

Kwenye raha na dhiki
Naomba upendo uwe pale pale
Tena uwe wa haki
Na roho nyuma usirudi kamwe

Mi natambua
Unahitaji nyumba na gari za kifahari
Tena najua
Zako nywele zinahitaji kwenda saluni

Sababu hali yetu duni sana
Kama natuendeshe gari mama
Mwenzio natafuta usiku na mchana
Tuishi nyumba ya kifahari mama

Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki
Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki

Ukaja ukaniacha solo
Utaniliza mama
Hey beiby

Usikate tamaa
Penzi letu bado changa mama
Changamoto lazima 
Watatuona kama hatuna maana

Lakini nakusihi 
Vumilia vumilia vumilia mama
Vumilia vumilia vumilia mama

Nivumilie, vumilia
Wangu cherrie

Usije niache solo mama
Hey Usije niache solo(Utaniumiza)
Hey usiniache solo
Utaniliza Masauti yeah..eeh

Watch Video

About Usikate Tamaa

Album : Usikate Tamaa (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Dream Nation.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 11 , 2020

More MASAUTI Lyrics

MASAUTI
MASAUTI
MASAUTI
MASAUTI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl