MABANTU Nakuchukia  cover image

Nakuchukia Lyrics

Nakuchukia Lyrics by MABANTU


Kama moyo wako ungekuwa samaki
Mi nahisi ushanimeza(Hamu-hee)
Maana yote unayofanya 
Ni kwa sababu unaniweza

Nakufumania una act unalia
Nakubembeleza
Alafu kwa rafiki zako 
Unatamba umeniweza

Kutwa DM yako ni Ali na Jux
Unawasifia(Salale)
Kwa emoji za makopa kopa
Ila nikajipa moyo sio kesi

Prado na Hummer ulinidanganya
Uber nikavumilia(Salale)
Nikikuuliza we mwenzangu vipi
Unanijibu wame update

Cha kushangaza Don Dingo rafiki yangu
Ila why umetoka na yeye?
Toto Bad ni rafiki yangu 
Ila why umetoka na yeye?

Stonebwoy ni rafiki yangu
Ila why umetoka na yeye?
Muuh Kajo ni ndugu yangu
Sasa why

Nakuchukia! 
Nakuchukia!
Ninakuchukia!
Nakuchukia! 
Niakuchukia!

Mwenzenu nilitwa doctor
Pale akitaka dawa
Kumbe kwake nilikuwa kidole
Kimoja sikuvunja chawa

Ni bora ushutiwe na gun
Nyie mapenzi yanauma usinitanie
Kaniumiza moyo aah
Nalia na moyo aaah

Ni bora cha msibani
Nyie kilio cha mapenzi mkisikie
Kinauma kwa moyo aah
Vibaya kwa moyo aaah

Cha kushangaza Barnaba mi ni kaka yangu
Ila why umetoka na yeye?
Dully Misifa ni baba yangu 
Ila why umetoka na yeye?

Stan Bakora rafiki yangu
Ila why umetoka naye?
Twaah Kane ni ndugu yangu
Sasa why

Nakuchukia!
Hata barabarani ukiniona nipite 
Nakuchukia!
Hata ukisikia nimekufa usinizike

Ninakuchukia!
Hata barabarani ukiniona nipite 
Nakuchukia! 
Hata ukisikia nimekufa usinizike

Ninakuchukia!

Watch Video

About Nakuchukia

Album : Nakuchukia (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 28 , 2019

More MABANTU Lyrics

MABANTU
MABANTU
MABANTU
MABANTU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl