Usukani Lyrics by LYDIAH MAINA


Mhhh yeeee

Kwa macho yangu
Naweza ona niko sawa
Kumbe siko sawa (sawa ahh)
Nataka nitembee nawe ili ni ifikie hatima
Oh yangu hatima, (hatima ahh)
Siku zote sikio halizidi kichwa
Halizidi kichwa ehh
Nitakwamini usiku hata kukicha
Hata kukicha eh baba
Kwa mwendo wa aste aste
Ni wewe nakufwata yaweh
Wewe ujuae mwanzo na mwisho wangu
Kwa mwendo wa aste aste ni wewe nakufwata yaheh
Wewe ujuae mwanzo na mwisho wangu (ehh baba)

Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua Chukua Chukua Chukua
Chukua usukani baba
Chukua Chukua Chukua Chukua
Chukua usukani baba

Sitaki nijifanye najua
Mwishowe nkaja kuunguwa jua
Kama sarah nisijitaftie ishmaeli
Mwishowe nkaja kuunguwa jua
Kwa huduma yangu suwezi bila wewe (babaaa)
Safari yangu siwezi bila wewe (baba)
Jamii yangu siwezi bila wewe (babaaa)
Jitihada zangu siwezi bila wewe (ohhh)

Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua Chukua Chukua Chukua
Chukua usukani baba
Chukua Chukua Chukua Chukua
Chukua usukani baba

Kwa mwendo wa aste aste
Ni wewe nakufwata yaweh
Wewe ujuae mwanzo na mwisho wangu
Kwa mwendo wa aste aste
Ni wewe nakufwata yaweh
Wewe ujuae mwanzo na mwisho wangu

Chukua Chukua Chukua Chukua
Chukua Chukua Chukua Chukua

Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua usukani baba
Chukua Chukua Chukua Chukua
Chukua usukani baba
Chukua Chukua Chukua Chukua
Chukua usukani baba

Watch Video

About Usukani

Album : Usukani (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : May 27 , 2021

More LYDIAH MAINA Lyrics

LYDIAH MAINA
LYDIAH MAINA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl