Gugugaga Lyrics by LULU DIVA


Mchizi fulani mwenye body la ajabu
Nataka anieke ndani 
Karangi fulani kalaini ka mkate
Tafuna burudani

Ameniweza na waist vuruga na chest
Ameumbika sio wa masihara
Usiombe ni-rotate kwa jinsi ulivyosexy
Body langu ni bishara

Namtia uchizi
I wanna make big man go mad
Make me crazy
Umeniweza umeniteka mazima

Mchizi noma yaani amenipakata
Ameniweka kwa kiganja amenikamata
Kwa msuruu na ameshajichomeka
Na zile zungusha anazungusha kula mikaa

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

[Fid Q]
Umenishika umenibamba na haulii chosha
Hata kama utaniita ganga nitaitika --
Nishikie pochi pata ule mwanga kwa kitochi
Am a big boss wengine shamba cha G kosh

Diva nimefurahia kukupata lazima wanikome
Kwa kwangu ni ka sheria inanifuata ili iniponye
Mipango ya kujiba hainiingii wala hainipendezi
Nishachomwa mwiiba hivo sifikirii kuwa mchembezi

Ati zako men na brand na finer, fimer
Gyal hawatawau wau wa
Kunipa murdercase najaribu my best(Sijielewi)
Kunipa murdercase najaribu my best(Sijielewi)

Mchizi noma yaani amenipakata
Ameniweka kwa kiganja amenikamata
Kwa msuruu na ameshajichomeka
Na zile zungusha anazungusha kula mikaa

Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh
Nabaki gugugaga, gugugaga, gumba eeh

Watch Video

About Gugugaga

Album : The 4 Some/ Gugugaga (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 13 , 2020

More LULU DIVA Lyrics

LULU DIVA
LULU DIVA
LULU DIVA
LULU DIVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl