LETEIPA THE KING Happy Birthday cover image

Happy Birthday Lyrics

Happy Birthday Lyrics by LETEIPA THE KING


[VERSE 1]
Imagine tayari nilikuwa nishasahau,
Kwamba Leo ni siku ya kusherehekea,
Nivenye nimewa busy nikuhustle dooh…
Na picha yako sitaiweka kwa mitandao
Na u sidhani kwamba sikuwa na care
Nivenye safcom nina deni ya soo
 
[CHORUS]
Ningelikuwa na Pesa ningekubuyia Zawadi,
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza ukaone umaridadii,
Wa dunia
Imagine nimeshindwa kuafford hata kakadi,
kakukuwishia
Happy birthday jibambeee

Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh
 
[VERSE 2]
Nakuombea uishi zaidi ya miaka elfu moja
Ndo ujionee wajukuu Wako pamoja na vitukuu
Uwaeleze tulivyosaidiana, kama masoldier
Nakutoana machozi kama tumela vitunguu
 
[CHORUS]
Ningelikuwa na Pesa ningekubuyia Zawadi
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza ukaone umaridadii,
Wa dunia
Imagine nimeshindwa kuafford hata kakadi,
kakukuwishia,,
Happy birthday jibambeee
 
Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh
Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh

 

Watch Video

About Happy Birthday

Album : Happy Birthday (Single)
Release Year : 2018
Added By : Kelvin Leteipa
Published : Dec 01 , 2018

More LETEIPA THE KING Lyrics

LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING
LETEIPA THE KING

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl