Uno Lyrics by LAROTA


Asa mbona unacheza ka unaogopa?
Asa ni kipi unashindwa kudondoka
Si mi ndo nimekuita uje nicheze nawe
Mawazo stress zisifanye we upagawe

Ah jimwe, jilete katikati
Taratibu usivutane mashati
Kisha wakuone vile we umetakata
Kama uko single basi leo ndo utapata

Hainaga gogoro, hainaga kasoro
Ata ukiwa solo, watu wanadunda
Hainaga gogoro, hainaga kasoro
Ata ukiwa solo, watu wanadunda

Biringisha, uno uno uno
Chezesha, uno uno uno
Katisha, uno uno uno
Mama, uno uno uno

Biringisha, mama zuia
Nishike hapo hapo, baba zuia
Twende mpaka chini, kaka zuia
Nishike hapo hapo, dada zuia

Pisi kali kama hii wapi utaipata
Iwe chini ama juu, wapi unaitaka
Ngoma kama hii unaicheza popote wewe ulipo
Hii ni rhumba sio kidalipo

Unapanda na chini, unarudi na juu, juu
Usichome maini vunja mifupa tu, tuu
Unakwenda na chini, unarudi na juu, juu
Usichome maini vunja mifupa tu, tuu

Hainaga mgogoro, hainaga kasoro
Ata ukiwa solo, watu wanadunda
Hainaga mgogoro, hainaga kasoro
Ata ukiwa solo, watu wanadunda

Biringisha, uno uno uno
Mama we kata, uno uno uno
Katisha, uno uno uno
Mama, uno uno uno

Mama zuia
Nishike hapo hapo, baba zuia
Twende mpaka chini, kaka zuia
Nishike hapo hapo, dada zuia

Biringisha, uno uno uno
Chezesha, uno uno uno
Katisha, uno uno uno
Mama, uno uno uno

Biringisha, mama zuia
Nishike hapo hapo, baba zuia
Twende mpaka chini, kaka zuia
Nishike hapo hapo, dada zuia

Biringisha, mama
Nishike hapo hapo
uno uno uno... uno

Watch Video

About Uno

Album : Uno (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 14 , 2021

More LAROTA Lyrics

LAROTA
LAROTA
LAROTA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl