KUSAH Acha Waone  cover image

Acha Waone Lyrics

Acha Waone Lyrics by KUSAH


Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone

Eti mwana hafikishi dem
Bila kadawa hapigi game
Anasema hata akienda sehemu
Akikosa demu anaondoka na shemu

Si anasema ukilewa ubebe
Unatapika unarudisha change
Unazima kabisa husomeki'
Acha waone

Hujiwezi huna hata breki
Unatukuta una tu overtake
Koko mingi unajiona keki

Na watajuta eeh
Tunajirusha eeh
Tunajirusha eeh
Hadi kunakucha eeh

Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone

Huyu dada akilewa anashida
Anachanganya anamix na widaa
Na vituko anamshinda Rashida
Ukiomba namba anakupa ya NIDA

Tunajirusha eeh
Hadi kunakucha eeh

Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone

Wahuni wahuni mpaka kule wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni
Wahuni wahuni mpaka kule wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni

Wahuni wahuni twende juu wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni

Watch Video

About Acha Waone

Album : Acha Waone (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 03 , 2021

More KUSAH Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl