Chekecha Lyrics by KING BIBO


King Bibo ft Bright - Chekecha lyrics

Wanaona tunafanikiwa hawajui tunaanzaje
Wanachukia wasichojua tumepataje
Hawakuwepo mwanzao watatujuaje
Nakupenda kukuwacha sijui itakuwaje

Wanaitamani siku tukijifungia ndani
Waone tunaicheza michezo gani
Inawakera wanaisaka tafrani
Watuzushie tutibuane kama ngomani
Nikijituma kutoa hali yenye kutia huruma
Wanaleta hujuma kilio chao hawanioni
Nikirudi nyuma watasubiri sana 
Ndio kwanza naunguruma

Fumba macho fumba sikio
Maneno yao usisikie
Moyo wako ufanye chojio
Sumu zao zisikuingie

Pumba chekecha, tuwe chekecha
Chekecha chekecha
Maneno chekecha, sumu chekecha

Wanadhania penzi letu bahati yandondokea
Wamepotea na kwetu hawana sera
Tunapepea tukapo yetu bendera 
Na Wakituchukia tunacheza wantarambera

Tunafurahi, tunajidai
Hata siku tunazo shindia chai
Wanaona hatung'ai pesa haijai
Ndo wanavyopenda maisha yatutoe nishai

Tabasamu lako lina niongezea motisha
Nisizubae nizidi kuyafanikisha
Nahakikisha kukupenda na kukuridhisha
Wanaona pcicha tunavyo yatoboa maisha

Fumba macho fumba sikio
Maneno yao usisikie
Moyo wako ufanye chojio
Sumu zao zisikuingie

Pumba chekecha, tuwe chekecha
Chekecha chekecha
Maneno chekecha, sumu chekecha

Basi nipe mapenzi, mmmh aah mmh aah
Oooh aaah, oooh aah
Nizidishie mapenzi, mmmh aah mmh aah
Oooh aaah, oooh aah

Watch Video

About Chekecha

Album : Chekecha (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 30 , 2020

More KING BIBO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl