Form Lyrics by KILUNDEEZY


Ka ni form niko form na mashore
Kama  ni weekendi mi hujibamba na mbogi
Mi ndio dere si ufike baze na moti
Leo tunaburn tunaskunk tu kisensi

Si form kamili bila Trio na mapengting
Wawili wawili kichinjio nifanye testing
Mi hukanyambisha kananuka design ya septic
Hakuna kubahatisha zinararuka na kisensi

Ka ni mboka iko ready kama power
24/7 mi hucheza ki Jack bawa
Ni kanyau kalidai hakana power
Mi ndio Grandpa buda mi ndio manyanga

Unakata panda balance
Wagithomo ndani ya dunda na shada
Nilidhani ni kasupa kumbe filters
Siwezi jaribu kutippytoe na uko na jiggers

Party after after party leta partycup
Mistari ngori sana zimeenda planty na
Mi huroga vitamu sana unaeza niita candybar
Ka ni fame sina shame buda sina caliber

Pedi wa kinyaru julikana ju ya backpack
Ka ni rada mi husafisha kiduster
Man star kwenye mix mimi ndio master
Panstar kwenye mix

Ka ni form niko form na mashore
Kama  ni weekendi mi hujibamba na mbogi
Mi ndio dere si ufike baze na moti
Leo tunaburn tunaskunk tu kisensi

Si form kamili bila Trio na mapengting
Wawili wawili kichinjio nifanye testing
Mi hukanyambisha kananuka design ya septic
Hakuna kubahatisha zinararuka na kisensi

Andale andale mami ia, ia
Rada ni waganis form inapandisia 
Skia nina ki cannabis chuom tunakaskizia ia
Maji ni catalyst konki kuna mabeer pia

Keep it low, motin on the minimal
Unaeza ropokwa mashidi zikuje physical
Ficha white ki brikicho, vidole ni sticky jo
Jabling huwanga blunder njoti ni ya kuongeza libido

Natippy toe kitimmy dat tingiza hizo wetetete
Pitisha kimbichwa kwa dirisha kiumbwetete
Rada nyi mnahesitate hepa na matembete
Kilundeezy Trio Mio, Mavo on the beat-ete

Ka ni form niko form na mashore
Kama  ni weekendi mi hujibamba na mbogi
Mi ndio dere si ufike baze na moti
Leo tunaburn tunaskunk tu kisensi

Si form kamili bila Trio na mapengting
Wawili wawili kichinjio nifanye testing
Mi hukanyambisha kananuka design ya septic
Hakuna kubahatisha zinararuka na kisensi

Una kishada buda leo si tuvai
Tukiskizaga doba na magood vice
Ati kuna curfew aki leo mi sikai
Usilete hasira saa zile zimedojo

Tuko Karen na sijui hata githongo
Mamboto tunachachisha na waroro
Kalinasa tuko waters
Kuharibu sana ati kesho tuko mbokas

Beating aki leo sina focus
Madem wamejaa ndani ya club locust
Niaje Morio si uvutie Dj Tophaz
Leo ni sherehe na aki mi siwezi kosa

Ka ni form niko form na mashore
Kama  ni weekendi mi hujibamba na mbogi
Mi ndio dere si ufike baze na moti
Leo tunaburn tunaskunk tu kisensi

Si form kamili bila Trio na mapengting
Wawili wawili kichinjio nifanye testing
Mi hukanyambisha kananuka design ya septic
Hakuna kubahatisha zinararuka na kisensi

Ka ni form niko form na mashore
Kama  ni weekendi mi hujibamba na mbogi
Mi ndio dere si ufike baze na moti
Leo tunaburn tunaskunk tu kisensi

Si form kamili bila Trio na mapengting
Wawili wawili kichinjio nifanye testing
Mi hukanyambisha kananuka design ya septic
Hakuna kubahatisha zinararuka na kisensi

Watch Video

About Form

Album : Form (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 12 , 2021

More KILUNDEEZY Lyrics

KILUNDEEZY
KILUNDEEZY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl