Wakati Lyrics by KIBONGE WA YESU


Sitochoka kusubilia maana subila yavuta heri
Imani yangu ni kwamba upo wangu wakati
Ambao bwana ameniandalia wakuyafuta machozi yangu ya unyonge
Mimi nausubili, wakatii
Wa kagangwa vidonda vyangu kujibiwa maombi yangu
Wakati wakupanda viwango vya juu
Ala lala laah, nishangaze adui zangu
Waliosema itakula kwangu washangae
Ukuu wa mungu wangu
Ulivyo mukubwa
Hajanisahau
Hachelewi wala hawai
Nachojua niko kwenye foleni (aah eeeh)
Hajanisahau hachelewi hawai
Nachojua niko kwenye foleni (aah eeeh)
Hivyo nausubili wakati wangu ufike
Wakati     alio niandalia bwana wakati wangu ufike
Wakati wa furaha wakati wangu ufike
Wakuinuliwa tena wakati wangu ufike nausubiri sichoki

Mosungi nanga, moninga naga
Mobateli nanga
Je te fais confiance
Nayebi sukasuka yokosala nga ngolu eeh
Na makambo elekinga mayele nabelelaka yo
Yoza zambe likolo na nyoso nayeni yokosala
Sita ovatek ntasubiri wakati wako
Hajanisahau hachelewi hawai
Nachojua niko kwenye foleni
Hivyo nausubili wakati wangu ufike
Wakuandaliwa meza mbele ya watesi wangu
Wakati wa furaha yangu kurejea
Bado bado nausubiri (wakati wangu ufike)
Wakati wa kufutwa machozi na bwana (wakati wangu ufike)
Wakati eiyeeeh yeeeh (wakati wangu ufike)
Wakati wa kuvishwa vazi la heshima (wakati wangu ufike)
Eeeh eeeh eeeh (wakati wangu ufike)

Nazeli tango kouta na nzambe nanga
Nazozela tango nayo Yesu lokola abakuki
Lele lele leleeeh
Tango nayo Yesu
Tango nayo Yesu
Lele lele leleeeh
Tango nayo Yesu
Tango nayo Yesu

Watch Video

About Wakati

Album : Wakati (Single)
Release Year : 2023
Copyright : ©2023 KiboMelodies. All rights Reserved
Added By : Farida
Published : Jul 27 , 2023

More KIBONGE WA YESU Lyrics

KIBONGE WA YESU
KIBONGE WA YESU
KIBONGE WA YESU
KIBONGE WA YESU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl