KASSAM Usiwaze  cover image

Usiwaze Lyrics

Usiwaze Lyrics by KASSAM


(Chipaka on the beat)

Yani hapa navyo ongea
Tayari nishajifia
Ukinitazama kwa makini
Utaona nilivyojiozea

Honey maneno yako ya chekechea
Ndo kabisa yaniuuvaa
Ndomo wako unavyouweka
Mmh bana utaniuwa

Nampango nikukataze kuwaa kimini
Yani mgauni juu mpaka chini
Simu yako nishike mimi
Huo wivu mama sio mimi

Ooh baby acha wivu wako usikakuwa wa mimi
Ushaniweza kwako nipo chini
Eti mgauni juu mpaka chini
Unavituko baby

Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa sauti kubusa nakupenda
Na wasikie wote
Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa hefuri  kubusa nakupenda
Nijaze vitabu vyote

Naomba baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby

Wao waongozua na shetwani
Siye twaongozua na mungu
Wacho waturogeroge
Dawa zao hazima nguvu

Tena wala hutubishani
Hatuna muda wa majungu
Siye tupo ndani twaoneshana mautundu

Basi tunendane kweli yanitimie walotabiri
Wewe na mimi hatutofika mbalii

Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa sauti kubusa nakupenda
Na wasikie wote
Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa hefuri  kubusa nakupenda
Nijaze vitabu vyote

Naomba baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby

Kuniwacha usiwaze mmmh

Watch Video

About Usiwaze

Album : Usiwaze (Single)
Release Year : 2023
Copyright : ©?2023 Kassam All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Aug 23 , 2023

More KASSAM Lyrics

KASSAM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl