Kesi Baadaye Lyrics by KANAIRO


Aah yeah
Temwa after kutekwa ka kawa nikirudi sober 
Ju hajatetema basi basi sivuti toja
Na akishiba kizazi, ataitisha maganji
Sidhani juu yaani kundule huchoma 

Na makuku lazima manga
Alafu buda hizi kutu hazimwa mwaga
Mbogi bado ni ya maguzzler, mastone na maratchet
Na bibi material hapana taka aah

Cheki bye bye 
Sitaki jo visanga na drama kwa life
Rada tu ni tei na magwai, alafu my guy 
Wacha wasiwasi ya bill jo na buy 

After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye
After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye

(Baadaye, baadaye, baadaye, baadaye)

Kam sleep over niko na shasha money
Alafu tumangane, beiby hadi ngware
Kam sleep over nina mizinga nane
Alafu usibleki juu leo kutu ni nare

Nikikucheki na tight, nanyonji
Leta pongi nicheze pikky ponkie
Ka ni formiko ya macombi jo
DK, Hopekid wako wapi jo

Meza meza, alco-blow tuwang'ade eeh
Cheza na mic mos mos usinyongwe eeh
Ju ni Tighter ka Taveta, moto ka pasi
Wet ka bahari ya Mombasani

Jump ina mi Benz pewa kitu kali
Alafu orwaro hazipatikani
Awoo, amejibeba ka ndae ya Ketepa
Na morning glory, asubuhi itawe-weza

Cheki bye bye 
Sitaki jo visanga na drama kwa life
Rada tu ni tei na magwai, alafu my guy 
Wacha wasiwasi ya bill jo na buy 

After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye
After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye

(Baadaye, baadaye, baadaye, baadaye)

You guy, haki walahi niko high
Nafeel twende tao kwenye klabu tujinyc
Pigia kwanza bae, tupitie akina Sly
Na leo mi si drive, nani shika hiyo ndae

Drinx na Mayenx, nani washa hiyo ngwai
Macookie na makeki naona zinadai
Kulia na kushoto nacheki tu mathigh
Watoto wako freshi, waroro wako fine
Nimecheki hizi jegi nikashindwa kudeny
Figa namba nane cheki vile wanawhine
Wakichora namba saba mi nitacheza namba nine
(Nine, nyc, nine, nine)

Cheki bye bye 
Sitaki jo visanga na drama kwa life
Rada tu ni tei na magwai, alafu my guy 
Wacha wasiwasi ya bill jo na buy 

After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye
After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye

(Baadaye, baadaye, baadaye, baadaye)

Cheki bye bye 
Sitaki jo visanga na drama kwa life
Rada tu ni tei na magwai, alafu my guy 
Wacha wasiwasi ya bill jo na buy 

After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye
After ni macookie na keki kwa ndae
Meza na ukibleki jo kesi baadaye

(Baadaye, baadaye, baadaye, baadaye)

Watch Video

About Kesi Baadaye

Album : Kesi Baadaye (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 We Global Entertainment
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 27 , 2019

More KANAIRO Lyrics

KANAIRO
KANAIRO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl