K2GA Unaniona cover image

Unaniona Lyrics

Unaniona Lyrics by K2GA


Nilipata tabu kupata penzi lako
Huku kando ulisita moyo wako
Beki ya moyo funguo ipo kwako
Mimi mazima siwezi toka kwako

Jamani moyo wangu usijezima
Kulalamika ka ukilema
Kunipa penzi lako hata huruma huna
Unanitesa sana

Jamani moyo wangu usijezima
Unanitesa sana
Kunipa penzi lako hata huruma una
Unanitesa sana(Aaah ma)

Kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa(Inauma sana)
Na kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa

Sasa hivi unanuna(Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Hivi unanuna (Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Wasi wasi wa moyo nilonao
Moyo wako bado hujaona
Kuwa na wewe bado naona 
Uzito wa penzi lako uzani unagoma

Basi nipe sikio mi leo
Nisikie niyasemayo
Usinipeleke mbio saana
Kama hulitaki we sema

Maana hata raha sina(Sina)
Sina pa kupapasa sina(Sina)
Sina pa kushika sina(Sina)
Sina pa kuhemea sina(Sina)

Kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa(Inauma sana)
Na kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa

Sasa hivi unanuna(Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Hivi unanuna (Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Saa waniona, haa uniona
Hivi unaniona
Unaniona unaniona unaniona 

King’s music

(Respect)

Watch Video

About Unaniona

Album : Unaniona (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 King's Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 08 , 2020

More K2GA Lyrics

K2GA
K2GA
K2GA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl