JOSE DRAMA Watangonja Sana cover image

Watangonja Sana Lyrics

Watangonja Sana Lyrics by JOSE DRAMA


[INTRO]
Rose Muhando
Jose Kama ndrama kama Vindeo
Watangoja sana
Watangoja sana jamani(aiii)

[CHORUS]
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Hakuna wa kupinga aaah (aaah aah....)

[VERSE 1]
Cha Mungu ni cha Mungu
Cha Mungu ni cha Mungu
Akishusha neema utukufu unashuka
Akishusha neema ushindi unashuka
Akishusha neema mbingu zinafunguka
Akishusha neema viwete wanatembea
Akishusha neema utukufu unashuka
Hapo hapo twainuka kwa nguvu zake bwana
Wewe wewe we…weee
Wacha wacha  kushindana na mimi (aaaah)

[CHORUS]
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Hakuna wa kupinga aaah (aaah aah....)

[VERSE 2]
Shetani kajipange upya
Wenye choyo mjipange upya
Wenye wivu mjipange upya
Wenye choyo mjipange upya
Wenye fitina mjipange tena

Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Mmekaa chini ya mtini hakuna matunda
Mmekaa chini ya mtini mnangoja matunda
Mmekaa chini ya mtini uso zaa matunda
Nasema mtangoja sana
Jamani mtangoja sana
Kamama mtangoja sana
Mwishowe mtalaaniwa

Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Neema hadi neemaaa
Utukufu hadi utukufu
Neema hadi neemaaaa
Utukufu hadi utukufu
Nimebarikiwa

Kibali chake Mungu
Kibali chake Mungu
Kimo juu yangu
Kimo juu yangu

Nitangaze wema  wako
Nitangaze nguvu zako
Eeeh mama mama

Nimeandaliwa mazuri
Nimeandaliwa mazuri
Mungu aniwazia mema
Yesu  aniwazia mema

Nasema mjipange upya,hamtapata kitu
Nimebarikiwa nimebarikiwa
Nimebarikiwa nimetunukiwa
Nimebarikiwa nimetunukiwa

[CHORUS]
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana

Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Hakuna wa kupinga(aaah aah....)

[OUTRO]
Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Neema hadi neemaaa...
Utukufu hadi utukufu...
Neema hadi neemaaaa...
Utukufu hadi utukufu...
Nimebarikiwa.....

Watch Video

About Watangonja Sana

Album : WATANGONJA SANA (Single)
Release Year : 2018
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 14 , 2018

More JOSE DRAMA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl