Nyota Lyrics by JOH MAKINI


Aweooo ! Aweooo !

Ehhh
Nasema nibure mikiombea nyota
Chini zianguke
Eeeh
Nasema nibure mikiombea nyota
Chini zianguke
Eeeh

Na wala siwaooni, Ooni eh eeh
Na wala siwaooni, Ooni eh eeh
Ma money is money men heeh
Awe ooh

Laaala lala lala
Wait til I get my money
Kama daladala, Nakusanya jala    
Usiniuzie meno What’s funny ?

 

[VERSE 1]

Mini mpango wa baba angu aliye juu
Nami nna mipango mmoja wapo ni huu
Nazibebea bango kuzipeleka juu
Mama ake king na king watabasamu tu
Vile king nazipiga bling- bling
Flow zingatia usafi
Watoto wa pale kitaa Siwalishi makapi
Mimi ndio mkondo wenyewe mikondo sifati
Angalizo isiwe shidaa huh
Siangalii saa kujua mudaa
Najua kila muda ni sa aya kuwa-murder
Sisi sio wale wasee wageuza mada
Sikimbizi nyie wasee nakimbiza chaada

Laaala lala lala
Wait til I get my money
Kama daladala
Nakusanya jala    
Usiniuzie meno What’s funny ?
Nasema nibure mikiombea nyota
Chini zianguke Eeeh
Nasema nibure Mikiombea nyota  
Chini zianguke Eeeh
Na wala siwaooni Ooni eh eeh
Na wala siwaooni Ooni eh eeh

[VERSE 2]
Uh laa la la  wait til I get my money
Uzidi kupata burudani
Hapo kati kule nje hata ndani
Uh laa la la wait til I get my money yoh
Uzidi kupata burudani
Hapo kati kule nje hata ndani
Nepepeta pumba kujifunza
Pasipo kujifunza ni kuwa funza
Kuthamini chako na kutunza
Amini bora uzima
Mengine yatafutwa
Kama maji kujaa
Na maji kukupwa
Bora uzima hakuna tapatapa
Ni mola pekee
Anaeinjinia hapa
Bora uzima vingine vyatafutwa
Kama maji kujaa
Na maji kukupwa
Bora uzima hakuna pupapupa
Ni mola pekee
Anaeinjinia hapa

Nasema nibure Mikiombea nyota
Chini zianguke Eeeh
Nasema nibure Mikiombea nyota
Chini zianguke
Eeeh

Na wala siwaooni Ooni eh eeh
Na wala siwaooni Ooni eh eeh
Na wala siwaooni Ooni eh eeh

[VERSE 3]
I don’t see no body
Sichungi ulimi sababu
Sizungumzii ya watu
Nachunga biashara
Maana binadamu sio watu
Siziogopi hasara
Siziogopi hasara maana hasara hunifunza vitu
Hamkai patakatifu
Joh siwavulii viatu
Ni mziki tu vipi mlaze makaburini watu
Baraka za baba
Angu zipo hadharani
Na maushetani
Yenu vichochoroni

Laaala lala lala
Wait til i get my money
Kama daladala Nakusanya jala    
Usiniuzie meno What’s funny ?
Nasema nibure mikiombea nyota
Chini zianguke Eeeh
Nasema nibure mikiombea nyota
Chini zianguke Eeeh
Na wala siwaooni Ooni eh eeh
Na wala siwaooni Ooni eh eeh

Laaala lala lala (Awe ooh)
Laaala lala lala (Awe ooh)

 

Watch Video

About Nyota

Album : Nyota (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Aug 28 , 2018

More JOH MAKINI Lyrics

JOH MAKINI
JOH MAKINI
JOH MAKINI
JOH MAKINI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl