Corona Lyrics by JIMMY GAIT


Ilikuwa ni Monday morning
My phone ika ring ring ring
Nilipokea simu yangu
Ilikuwa ni Akinyi

Amekuwa ni rafiki wa karibu
Just the other day kaolewa majuu
Hey hello, 'Jimmy' 
'Are you okey? Are you okey?' 

Your husband?
Ni nini imefanyika?

"Bwana yangu amekufa, 
Alikuwa anakohoa sana, joto jingi
Na kushindwa kupumua
Daktari alisema ni Corona"

Oooh Corona, watisha ulimwengu
Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa
Itakuwa sawa(Sawa sawa)
Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)

Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sa, sawa sa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sa, sawa sa, sawa sawa

Hata kama kuna wingu limetanda
La Corona linatisha sisi wote
Kwa pamoja tunaweza kujikinga
Kwa kufuata maagizo kama haya

Kwa mara nyingi osha mikono yako kwa sabuni
Na usiguze macho, mdomo na hata na mapua
Ni bora ufunikie mdomo kama wakohoa
Maumivu yakizidi ona daktari
Na walioadhirika ni watu kama sisi 
Tusiwaachilie

Oooh Corona, watisha ulimwengu
Lakini Mungu yupo, itakuwa sawa
Itakuwa sawa(Sawa sawa)
Tukitizama Mungu, itakuwa sawa(Sawa sawa)

Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright

Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright
Everything is gonna be alright

Watch Video

About Corona

Album : Corona (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 14 , 2020

More JIMMY GAIT Lyrics

JIMMY GAIT
JIMMY GAIT
JIMMY GAIT
JIMMY GAIT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl