Sawa Lyrics by JAY MELODY


Jay once again

Mapenzi tu
Nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali
Namwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu
Ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali
Mi nalama tu
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda

Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa)
Eh Sawa

Huo utamu hasa nikiingia
Akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia
Na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya kuchange idea
Hapo hapo nimemng’ang’ania
Hapo hapo nimeshikilia
Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda

Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa)
Eh Sawa

Watch Video

About Sawa

Album : Sawa (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jun 17 , 2023

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl