JAY MELODY Mbali Nawe cover image

Mbali Nawe Lyrics

Mbali Nawe Lyrics by JAY MELODY


Once again

Masikini mimi
Mwenzako mimi
Naumia sana
Japo nishajua mimi
Kuwa sawa na wewe haitawezekana
Hata nikishuka chini, ndo unaniona
Mi mjinga sana
Eti umepatwa nini, mbona hapo mwanzo ulitulia aah

Na wala sio mbali, sio mbali
Tulikua karibu na malengo
Na leo kiutani, kama utani
Umeshindwa kuumaliza mwendo
Na tena haujali, haujali
Ukiondoka utaacha pengo
Hakuna cha habari, nikae mbali
Huku kuachwa bila maelezo

Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe

Au kuwa na mie hautamani
Basi niambie kosa gani
Basi niambie jinsi gani
Utakua sawa baby mmh
Nikueleze jinsi gani
Vile nimekuweka moyoni
Hata unipime kwa mizani
Nitajaa kwako honey

Mi naumwa
Siko sawa
Lako penzi ndo yangu dawa
Mi naumwa aah
Siko sawa
Lako penzi ndo yangu dawa

Na wala sio mbali, sio mbali
Tulikua karibu na malengo
Na leo kiutani, kama utani
Umeshindwa kuumaliza mwendo
Na tena haujali, haujali
Ukiondoka utaacha pengo
Hakuna cha habari, nikae mbali
Huku kuachwa bila maelezo

Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe

Watch Video

About Mbali Nawe

Album : Mbali Nawe (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Aug 04 , 2023

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl