JAPHET ZABRON Salimia Watu cover image

Salimia Watu Lyrics

Salimia Watu Lyrics by JAPHET ZABRON


Si kuna Mungu, Mungu wa watu
Ndiye hutuweka pamoja
Huyu ni ndugu, yule rafiki
Wote ni kitu kimoja

Uwe m Israeli, uwe kabila la Yudah
Muumba wetu mmoja
Si tuliumbwa na Mungu, kuishi kwetu ni Mungu
Na uzima huu ni Mungu

Waishi vipi na watu wako wa mtaani
Hapa duniani
Utu kwa watu ndani yake twaona upendo
Uwapo hai duniani
Salimia watu pesa huisha

Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu 
Ndio watakuzika kesho 
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu
Pesa huisha 

Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu 
Ndio watakuzika kesho 
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu

Hakuna jambo lisilo mwisho 
Hata bado tujivune
Chini uhai, vitu na mali
Hivi vyote ni vya Mungu

Dunia hii tunapita na njia yetu ni moja
Kuna kifo na uzima 
Je unatenda ya Mungu, unatimiza ya Mungu
Wamtegemea Mungu

Kwa wema wenu, kwa watu twaona upendo
Upendo wa Mungu
Anatupenda hutuwazia mema kila siku

Tuwapo hai duniani, waheshimu watu
Pesa huisha 

Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu 
Ndio watakuzika kesho 
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu
Pesa huisha 

Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu 
Ndio watakuzika kesho 
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu

Salimia watu, ongea na watu
Salimia watu, waheshimu watu 
Salimia watu, ongea na watu
Salimia watu, waheshimu watu 

(Ishi na watu wapende watu)

Watch Video

About Salimia Watu

Album : Salimia Watu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 17 , 2021

More JAPHET ZABRON Lyrics

JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON
JAPHET ZABRON

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl