Flora Lyrics by IVAN KING


Sasa inatosha kuwa single 
Nimepata baby kipenzi cha roho
Ananipenda kweli si mchezo
Mwaka hauishi navyotajika

Tabia tunaendana tunafanana
Nikija itwa baba naye aitwe mama 
Naomba kwa Maulana awe mke mwema
Isije mbele mbele siku akanichanganya

Nakuzimia hata bila makeup unavutia
We ni bonge la baby nakuimbia
Maji kwa mtima natulia
Iye iye iye..

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Nipeleke unavyotaka
Kwangu -- sina kama toy toy
Kile unachofanya nafurahi rahi
Moyo unakupenda
Nizamishe kwenye kina upendo wako
Utaniua kwa mapenzi yako mama ona

Nakuzimia hata bila makeup unavutia
We ni bonge la baby nakuimbia
Maji kwa mtima natulia
Iye iye iye..

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Watch Video

About Flora

Album : Flora (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 13 , 2021

More IVAN KING Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl