...

Yanitosha Lyrics by ISRAEL MBONYI


Nimesulubiwa nae, lakini mi niko hai

Si mimi tena, Kristo ndani yangu

Nitajisifia udhaifu wangu, kwa furaha nyingi

Ili uweza wake ukae juu yangu

Yote nitendayo ni kwa imani

Sitaibatili neema ya Mungu kamwe

Yanitosha neema ya mungu

Ndio uzima kuyatambuwa

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Yanitosha neema ya mungu

Ndio uzima kuyatambuwa

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Kwenye mapungufu yangu

Ndipo nguvu zake Zatiimiya

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Sio mimi Tena, Christo Ndani yangu

Hayo Yanitosha

Watch Video

About Yanitosha

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright : ©12stonesRecord
Added By : Farida
Published : Aug 09 , 2024

More ISRAEL MBONYI Lyrics

ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl